Showing posts with label Relationship. Show all posts
Showing posts with label Relationship. Show all posts

Saturday, April 9, 2016

Mchumba wangu hatakiwi kwetu nifanyaje?


Habari zenu Wanajamvi,
Natumaini wote ni wazima wa afya njema,  Nia na madhumuni ya kuandika waraka huu ni kuomba ushauri kwani naamini penye wengi pana mengi......... Nina  mpenzi wa miaka minne  toka tuanze mahusiano yetu na kama ilivyo kawaida mkiwa kwenye mahusiano lazima muwe na mipango mingi ya maisha yenu ya kifamilia hapo baadae  hasa ndoa pamoja......

Kwa kuwa nampenda mpenzi wangu nikaona si vibaya kama nikienda nae nyumbani waanze kumzoea na yeye kuwafahamu ndugu zangu wengine.....

Sasa baada ya kumpeleka nyumbani siku  nikawekewa kikao cha familia na kuambiwa kuwa mtu nilienae hanifai, ana background mbaya na hawapo tayari kuona mimi nikimuoa huyo binti.....

Nilijitetea sana kumsafisha mpenzi wangu aonekane si mtu mbaya kama wanavyosema ila juhudi zangu ziligonga mwamba kabisa, na kuniambia hawamtani na nisiende nae tena nyumbani siku nyingine!!!1

Naomben ushauri, Mpenzi wangu bado napmpenda.......je nimwambie mpenzi wangu hali halisi ilivyo? Maana toka siku hiyo akiniambia habari za yeye walivyompokea nyumbani nafsi yangu inakuwa inanisuta

Uncle J Dar

Tuesday, March 15, 2016

Dalili za mwanamke anayekupenda, ila hawezi kukuambia


Kumekuwa na imani potofu kwa wanawake kwamba hawawezi kumwambia ukweli mwanaume anampenda kwanza mpaka mwanaume aanze lakini ukweli usiopingika ni kwamba wao pia hupendi na mara nyingi wao wakianza kupenda hupenda kweli kufikia stage hata ya kuhisi kuumwa. Hizi ni dalili za mwanamke anaekupenda ila anagoma kukwambia tu.

1. KUKUTEGA ILIKUJUA THAMANI YAKE KWAKO
Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda na kumthamini au la mfano wa mambo hayo ni kama kujifanya anaumwa na kauangalia respond yako kwake ni kiasi gani unamjali na kiasi gani utahangaika kwa ajili yake.

2.HUWA ANAPENDA KUKUGUSA SEHEMU YAKO YA MWILI.
Haoni aibu kugusa sehemu ya mwili wako. Msichana anayependa haoni aibu kukushika mkono ama kukutomasa au hata kukumbatia.Kwa kufanya hivyo hujua kuwa kwa asilimia kubwa hisia za kushikana kwenu kutamrahishishia kazi ya kuwa na wewe.

3. KUPENDA KUCHEKA TENA MUDA MWINGINE KWA NGUVU
Kucheka kwa nguvu hata kwa kitu kisicho chekesha endapo wewe umezungumza. Mara nyingi ataonesha uso wa furaha hata kama si furaha ya kweli.

4. WIVU
Hujisikia wivu anapokuona na wasichana wengine. Ukiwa unachart nao na ukiwaita majina ya kimahaba. Hapendi na hupenda yale afanyiwe yeye tu hata kama sio mpenzi wako.

5.HUKUMBUKA MATUKIO MUHIMU YOTE KUHUSU WEWE
Anakumbuka siku zako muhimu. Hukumbuka kama vile siku yako ya kuzaliwa hatoweza kuisahau kufanya ipite bila kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa kama sivyo ukifauli mtihani au chochote katika maisha yako atakuwa mbele kukupongeza.

6. HUPENDA KUANGALIANANA WEWE MUDA MWINGI
Eye contact hupendelea sana kukuangalia machon muda wote ambao mtakuwa mkizungumza pamoja akidhani kuwa utamuelewa ni kiasi gani anakupenda kupitia vile anavyokuangalia. Ila wengine huona aibu kuwatazama wavulana wanaowapenda hivyo huweka jicho la wizi na kukuvizia.

8. HUPENDA KUKAA NA WEWE MUDA MWINGI NA KUKUJUA ZAIDI
Hupenda kukaa muda mwingi na wewe. Hawezi kupoteza hata sekunde ukimuhitaji kwa mazungumzo. Anajisikia furaha kukaa na wewe muda mrefu bila kuchoka. Anaweza akaacha kila kitu anachokifanya ili ajumuike na wewe na akikaa na wewe hupendelea sana mwanzoni kukujua wewe zaidi na hukujengea mazingira ya wewe uwemuwazi ili umwambie mengi kuhusu wewe na pia akiwa na wewe atakuwa muwazi zaidi hadi mavazi aliyovaa hupenda sana kujua yako na kukuambia yake na hupenda kujua ni mavazi gani yeye akivaa anakuvutia zaidi na atajitahidi kuwa anavaa ya style hiyo kukufurahisha.

9.YUPO TAYARI KUANGAMIZA
Kama msichana anakupenda yupo tayari kusacrifice. Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye anaweza akafanya kwa mtu mwingine. Utamuona vipi huyo msichana alivyo kwako na kwa wengine. Yaani yupo tayari akose lakini wewe upate na kwa mwingine anaweza akamwambia hana alichoombwa lakini akakupa wewe kama pesa na vitu vingine.

10. HUPENDA KUTATUA  MIKWARUZANO YENU KWA AMANI
Mikwaruzano ikitokea katika urafiki wenu hayupo tayari kukupoteza kabla hajakwambia nakupenda.Kwa kuwa anakupenda endapo ikitokea mikwaruzano basi atafanya juu chini kuyaweka mambo sawa ili asikukose.

11. HUPENDA KUKUNUNULIA ZAWADI ZA MITEGO
Mwanamke anaekupenda hupenda kujua mengi sana kuhusu wewe na hapo inamsaiia kukununulia zawadi za mitego kama boxer , na mara nyingi hupenda rangi nyeupe, au kukununulia perfume , sabuni ya kuoge ya manukato,soksi, vest, bukta, saa,raba, t-shirt. Na kama mkitoka wote mkaenda shopping ataakutega kwa kukuonyesha vitu na wewe ukionekana umependa kitu hatonunua siku hiyo ila atanunua siku inayofuata na kukuletea kama suprise.

12. KUPENDA MLE WOTE
Mwanamke anaekupenda ili akujue zaidi hupendelea msosi mle sehemu mmoja na kama ikitokea mwanaume hawezi kuhama sehemu anayokula mwanamke yupo radhi kubadili na kumfuata mwanaume hatakama sehemu hiyo yeye haipendi na kama unakula kwako basi atakutega na kuja kupika kwako ili mle na atakuwa anapenda kununua vitu vya kupika ili tu akutekena uone upendo wake.

NB: Kuwa makini, sio kila mwanamke atakaye onesha dalili hizi anakupenda kwa dhati, wengine hutaka kukuweka mtu kati ili akugagadue mpunga wako tuuu a.k.a gold digger.

Uncle B wa JF

They're attached again! Romanian husband forgives wife who ripped off his testicles when he failed to buy her flowers on International Women's Day

  • Ionel Popa, 39, was rushed to hospital after his scrotum was torn open
  • His wife Marinela Benea, 40, grabbed his testicles during a row at home
  • He has now revealed he is making a recovery and chose to forgive his wife
They have been filmed laughing and joking together as they told their story to local television Kanal D during an evening show called WowBiz

A Romanian man whose wife ripped off his testicle when he did not get her flowers on International Women's Day says they are back together after he forgave her.

Ionel Popa, 39, from Vaslui County in the north east of the country, was rushed to hospital with his scrotum torn open after his wife Marinela Benea, 40, launched a vicious attack.

The mother-of-one grabbed hold of her husband's testicles and pulled violently during the argument.

But now they have been filmed laughing and joking together as they told their story to local television Kanal D during an evening show called WowBiz.

The wife Marinela Benea, 40, said: 'Ionel had been given a bottle of wine for a day's work instead of getting paid, and had arrived home drunk. When he gets drunk, he changes. 

'All night he made me keep the fire on because he was cold and I did it to avoid having an argument.

'In the morning I opened the curtains and told him to go out and do some work, or at least to help with the household chores, but he shouted that I'm not entitled to give him orders.

'I told him he was not any kind of man and I grabbed his testicles. It was not my fault that he pulled away, and that's when it happened. 

'I thought maybe that some ice would solve the problem, but he insisted on calling an ambulance. He was pretty annoyed.'

But she added: 'His face changed when he felt something rip, but he didn't scream, he didn't utter a sound at first.'

Popa was rushed to hospital with a ripped scrotum and one testicle but is now recovering well after an operation.

He said: 'I'm ok, we all make mistakes; the main thing is I forgive my wife.'

He even laughed about the situation as he described what happened, saying: 'I was supposed to get some flowers. I should have woken-up earlier.'

His wife stood beside him squeezed his hand gently, saying: 'Every marriage has its ups and downs.'

Wednesday, February 3, 2016

The Best Part Of Being Single Is Knowing Nobody's Cheating On You


At least I can rest easy at night.
The first time I was ever aware of being cheated on, I didn't care that much. As relationships go, ours was still relatively new and I wasn't all that sure about my overall commitment at that point. When I learned about it I was off on a trip and so the impact didn't really hit until I saw her again. When I did, feelings of disgust and betrayal came flooding in.

Little did I know, it wouldn't the last time I'd be cheated on. Over the years, a number my of relationships ended up with me being cheated on, including one engagement.

After awhile, I wondered if I was a magnet for misfortune but when I stopped feeling sorry for myself I realized something wonderful: the freedom of being single brings with it the benefit of knowing no one is cheating on you.

On the surface, that sentiment might sound a bit depressing but it really isn't. Relationships aren't for everyone,and most of the pain in life comes from trying to shoehorn oneself into situations that simply shouldn't be.

Once I figured out my "type," I also learned — through tremendous amounts of trial and error — that my type likes to be free. So why shouldn't I be?

We're conditioned to spend our lives chasing after "the one," and more often than not, the harder we search for that person the more they simply never show up — or we mistake people for the one when they should be "one of."

Being single and dating brings a level of comfort to my life where I'm shielded from the bitter notion of invest my time and heart into someone who turns around and stabs me in the back with their infidelity.

If you're still with me to this point, you might think that maybe being scorned, used, and abused tainted me. That I wouldn't be so jaded if I had the love of my life right next to me. Not necessarily so.

As I mentioned earlier, much of the pain in life comes from trying to force situations. Much of this comes as a result of preconceived notions of what relationships "should" be. Many affairs come as a result of one or both partners failing to live up to the fantasy set forth by what a perfect union should look and feel like.

With cheating, the story is usually the same. Sometimes it happens because of neglect and inattention; sometimes it happens because the relationship's gone past its natural expiration date. And instead of splitting up and finding new people, you choose to exist as virtual roommates if you're married, or simply live in pointless denial if you're not.

So many of my friends and acquaintances are going through their first and even second divorces because of infidelity, largely brought on by a simple desire by one of the parties to sleep with other people. The same goes for relationships where I've had to listen to horror stories of finding out that the person who was supposed to be their "forever" was doing the forever with someone else.

Hearing those stories like a broken record only makes me feel better about being single. mMaybe this won't always be the case. Maybe someday my true princess will come and said princess will be all-in, because I'll be all in.

And after all the bullsh*t that comes from surviving infidelity, I'll finally do things to keep the fires burning until we have our Notebook moment where we die within minutes of one another and float up to whatever resembles Heaven, where our spirits will dance together into infinity.

I just hope to hell the grass isn't greener on the other side of Heaven. I might be screwed.

Source : your tango